15 lines
802 B
Markdown
15 lines
802 B
Markdown
# Mgiriki, Kigiriki
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Msemo "Mgiriki" una maana ya lugha inayozungumzwa katika nchi ya Giriki. Giriki pia ilizungumziwa kote katika Ufalme wa Kirumi. Msemo "Kigiriki" una maana ya "kuzungumza Kigiriki".
|
|
|
|
Kwa kuwa watu wasiokuwa Wayahudi katika Ufalme wa Kirumi walizungumza Kigiriki, Watu wa mataifa mara kwa mara humaanisha "Wagiriki" katika Agano Jipya, haswa inapolinganishwa na Wayahudi.
|
|
|
|
Msemo "Wayahudi wa Kigiriki" walikuwa wakimaanisha Wayahudi ambao walizungumza Kigiriki kulinganisha na "Wayahudi wa Kiebrania" ambao walizungumza Kiebrania pekee, au labda Kiaramea.
|
|
|
|
Njia zingine za kutafsiri "Kigiriki" zinaweza kujumuisha "kuzungumza Kigiriki" au "Kigiriki cha kitamaduni" au "Kigiriki".
|
|
|
|
Pale inapomaanisha wasio Wayahudi, "Giriki" inaweza kutafsiriwa kama "watu wa mataifa"
|
|
|