sw_tw/bible/names/greek.md

802 B

Mgiriki, Kigiriki

Ufafanuzi

Msemo "Mgiriki" una maana ya lugha inayozungumzwa katika nchi ya Giriki. Giriki pia ilizungumziwa kote katika Ufalme wa Kirumi. Msemo "Kigiriki" una maana ya "kuzungumza Kigiriki".

Kwa kuwa watu wasiokuwa Wayahudi katika Ufalme wa Kirumi walizungumza Kigiriki, Watu wa mataifa mara kwa mara humaanisha "Wagiriki" katika Agano Jipya, haswa inapolinganishwa na Wayahudi.

Msemo "Wayahudi wa Kigiriki" walikuwa wakimaanisha Wayahudi ambao walizungumza Kigiriki kulinganisha na "Wayahudi wa Kiebrania" ambao walizungumza Kiebrania pekee, au labda Kiaramea.

Njia zingine za kutafsiri "Kigiriki" zinaweza kujumuisha "kuzungumza Kigiriki" au "Kigiriki cha kitamaduni" au "Kigiriki".

Pale inapomaanisha wasio Wayahudi, "Giriki" inaweza kutafsiriwa kama "watu wa mataifa"