17 lines
768 B
Markdown
17 lines
768 B
Markdown
# Gilgali
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Msemo Gilgali ulikuwa mji kaskazini mwa Yeriko na ilikuwa sehemu ya kwanza ambayo Waisraeli waliweka kambi baada ya kuvuka mto Yordani kuingia Kaanani.
|
|
|
|
Kula Gilgali, Yoshua aliweka mawe kumi na mawili kutoka mto uliokauka wa Mto Yordani ambao walimaliza kuuvuka.
|
|
|
|
Gilgali ulikuwa mji ambao Eliya na Elisha walishi walipovuka Yordani pale Eliya alipochukuliwa kwenda mbinguni.
|
|
|
|
Kulikuwa na sehemu zingine pia zijulikanazo kama "Gilgali" katika Agano la Kale.
|
|
|
|
Neno "gilgali" lina maana ya "mduara wa mawe" labda kumaanisha sehemu ambapo dhabahu ya mduara ilijengwa.
|
|
|
|
Katika Agano la Kale, jina hili mara nyingi hujitokeza kama "gilgali". Hii inaweza kuonyesha ya kwamba haikuwa mahali bayana lakini ilikuwa ufafanuzi wa ain fulani ya sehemu.
|
|
|