sw_tw/bible/names/gilgal.md

768 B

Gilgali

Ufafanuzi

Msemo Gilgali ulikuwa mji kaskazini mwa Yeriko na ilikuwa sehemu ya kwanza ambayo Waisraeli waliweka kambi baada ya kuvuka mto Yordani kuingia Kaanani.

Kula Gilgali, Yoshua aliweka mawe kumi na mawili kutoka mto uliokauka wa Mto Yordani ambao walimaliza kuuvuka.

Gilgali ulikuwa mji ambao Eliya na Elisha walishi walipovuka Yordani pale Eliya alipochukuliwa kwenda mbinguni.

Kulikuwa na sehemu zingine pia zijulikanazo kama "Gilgali" katika Agano la Kale.

Neno "gilgali" lina maana ya "mduara wa mawe" labda kumaanisha sehemu ambapo dhabahu ya mduara ilijengwa.

Katika Agano la Kale, jina hili mara nyingi hujitokeza kama "gilgali". Hii inaweza kuonyesha ya kwamba haikuwa mahali bayana lakini ilikuwa ufafanuzi wa ain fulani ya sehemu.