11 lines
384 B
Markdown
11 lines
384 B
Markdown
# Gileadi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Gileadi ni jina na eneo la milima mashariki mwa mto Yordani, ambapo kabila la Waisraeli la Gadi, Rubeni na Manase waliishi.
|
|
|
|
Eneo hili pia lilijulikana kama "nchi ya mlima wa Gileadi" au "Mlima Gileadi".
|
|
|
|
"Gileadi" ilikuwa jina la wanamume kadhaa katika Agano la Kale. Mmoja wa wanamume hawa alikuwa mjukuu wa Manase. Gileadi mwingine alikuwa baba wa Yefta.
|
|
|