sw_tw/bible/names/gilead.md

384 B

Gileadi

Ufafanuzi

Gileadi ni jina na eneo la milima mashariki mwa mto Yordani, ambapo kabila la Waisraeli la Gadi, Rubeni na Manase waliishi.

Eneo hili pia lilijulikana kama "nchi ya mlima wa Gileadi" au "Mlima Gileadi".

"Gileadi" ilikuwa jina la wanamume kadhaa katika Agano la Kale. Mmoja wa wanamume hawa alikuwa mjukuu wa Manase. Gileadi mwingine alikuwa baba wa Yefta.