11 lines
424 B
Markdown
11 lines
424 B
Markdown
# Geshuri
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Katika kipindi cha Mfalme Daudi, Geshuri ilikuwa ufalme mdogo uliokuwa upande wa mashariki wa Ziwa la Galilaya, kati ya nchi za Israeli na Aramu.
|
|
|
|
Mfalme Daudi alimuoa Maaka, binti wa mfalme wa Geshuri na akamzalia mwana wa kiume, Absalomu.
|
|
|
|
Baada ya kumuua ndugu yake Amnoni, Absalomu alikimbilia kaskazini mashariki mwa Yerusalemu hadi Geshuri, umbali wa kama maili 88. Alikaa kule miaka mitatu.
|
|
|