15 lines
565 B
Markdown
15 lines
565 B
Markdown
# Ezekieli
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Ezekieli alikuwa nabii wa Mungu wakati wa kipindi cha uhamisho ambapo Wayahudi wengi walipelekwa Babeli.
|
|
|
|
Ezekieli alikuwa kuhani aliyeishi katika ufalme wa Yuda ambapo yeye na Wayahudi wengine wengi walikamatwa na jeshi la Babeli.
|
|
|
|
Kwa zaidi ya miaka ishirini, yeye na mke wake waliishi Babeli karibu na mto, na Wayahudi walikuja pale kumsikiliza akizungumza ujumbe kutoka kwa Mungu.
|
|
|
|
Miongoni mwa wafalme wengine, Ezekieli alitabiri juu ya uharibifu na ujenzi wa Yerusalemu na hekalu.
|
|
|
|
Pia alitabiri kuhusu ufalme wa baadaye wa Masihi.
|
|
|