sw_tw/bible/names/ezekiel.md

565 B

Ezekieli

Ufafanuzi

Ezekieli alikuwa nabii wa Mungu wakati wa kipindi cha uhamisho ambapo Wayahudi wengi walipelekwa Babeli.

Ezekieli alikuwa kuhani aliyeishi katika ufalme wa Yuda ambapo yeye na Wayahudi wengine wengi walikamatwa na jeshi la Babeli.

Kwa zaidi ya miaka ishirini, yeye na mke wake waliishi Babeli karibu na mto, na Wayahudi walikuja pale kumsikiliza akizungumza ujumbe kutoka kwa Mungu.

Miongoni mwa wafalme wengine, Ezekieli alitabiri juu ya uharibifu na ujenzi wa Yerusalemu na hekalu.

Pia alitabiri kuhusu ufalme wa baadaye wa Masihi.