17 lines
673 B
Markdown
17 lines
673 B
Markdown
# Esta
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Esta alikuwa mwanamke wa Kiyahudi ambaye alikuwa malkia wa ufalme wa Ashuri katika kipindi cha mateka ya Babeli kwa Wayahudi.
|
|
|
|
Kitabu cha Esta kinaelezea simulizi ya jinsi Esta alivyokuwa mke wa mfalme wa Waashuri Ahasuero na jinsi Mungu alivyomtumia kukomboa watu wake.
|
|
|
|
Esta alikuwa yatima ambaye alikuzwa na binamu yake mkubwa, Mordekai.
|
|
|
|
Kutii kwake kwa baba yake wa kambo kulimsaidia kuwa mtiifu kwa Mungu.
|
|
|
|
Esta alimtii Mungu na kuweka maisha yake hatarini ili kuwakomboa watu wake, Wayahudi.
|
|
|
|
Simulizi ya Esta inaelezea utawala wa Mungu wa enzi juu ya matukio na historia, haswa jinsi anavyolinda watu wake na kutumika kupitia wale wanaomtii.
|
|
|