14 lines
443 B
Markdown
14 lines
443 B
Markdown
# Edeni, bustani ya Edeni
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Katika kipindi cha zamani, Edeni ilikuwa eneo ambalo lilikuwa na bustani ambapo Mungu aliweka mwanamume na mwanamke wa kwanza kuishi.
|
|
|
|
|
|
Bustani ambayo Adamu na Hawa waliishi ilikuwa sehemu tu ambayo waliishi.
|
|
|
|
Sehemu husika ya eneo la Edeni halina uhakika, lakini Mito ya Hidekeli na Frati zilitiririka katikati yake.
|
|
|
|
Neno "Edeni" hutokana na neno la Kiebrania lenye maana ya "kufurahishwa sana na".
|
|
|