sw_tw/bible/names/eden.md

443 B

Edeni, bustani ya Edeni

Ufafanuzi

Katika kipindi cha zamani, Edeni ilikuwa eneo ambalo lilikuwa na bustani ambapo Mungu aliweka mwanamume na mwanamke wa kwanza kuishi.

Bustani ambayo Adamu na Hawa waliishi ilikuwa sehemu tu ambayo waliishi.

Sehemu husika ya eneo la Edeni halina uhakika, lakini Mito ya Hidekeli na Frati zilitiririka katikati yake.

Neno "Edeni" hutokana na neno la Kiebrania lenye maana ya "kufurahishwa sana na".