11 lines
362 B
Markdown
11 lines
362 B
Markdown
# Dario
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Dario lilikuwa jina la wafalme kadhaa wa Uajemi. Inawezekana "Dario" ilikuwa ni cheo na siyo jina.
|
|
|
|
"Dario, Mmedi" alikuwa mfalme aliyedanganywa kumfanya nabii Danieli kutupwa katika tundu la simba kama adhabu ya kumwabudu Mungu.
|
|
|
|
"Dario Muajemi" alisaidia kurahisisha ujenzi tena wa hekalu Yerusalemu katika kipindi cha Ezra na Nehemia.
|
|
|