sw_tw/bible/names/darius.md

362 B

Dario

Ufafanuzi

Dario lilikuwa jina la wafalme kadhaa wa Uajemi. Inawezekana "Dario" ilikuwa ni cheo na siyo jina.

"Dario, Mmedi" alikuwa mfalme aliyedanganywa kumfanya nabii Danieli kutupwa katika tundu la simba kama adhabu ya kumwabudu Mungu.

"Dario Muajemi" alisaidia kurahisisha ujenzi tena wa hekalu Yerusalemu katika kipindi cha Ezra na Nehemia.