732 B
732 B
Kolosai, Wakolosai
Ufafanuzi
Katika agano jipya Kolosai ulikuwa mji katika Rumi nchi ambayo sasa ni kusini mangharibi mwa uturuki. Wakolosai ni watu walioishi Kolosai.
- Ilikuwa kama maili 100 toka bahari ya mediteraniani, Kolosai ilikuwa njia kuu ya biashara kati ya mji wa Efeso na mto Efrata.
- Alipokuwa gerezani Rumi Paulo aliandika barua kwa Wakolosai ili kusahihisha mafundisho ya uongo kati ya waamini waliokuwa Kolosai.
- Alipokuwa akiandika barua Paulo hakutembelea kanisa katika Kolosai lakini alisikia habari za waamini toka kwa mtumishi mwenzake Epafra.
- Epafra alikuwa mfanyakazi wa Kikristo aliyeanzisha kanisa Kolosai.
- Kitabu cha Filemoni ni barua ya Paulo kwa waliokuwa wakimiliki watumwa huko Kolosai.