11 lines
427 B
Markdown
11 lines
427 B
Markdown
# Beth Shemeshi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Beth Shemeshi lilikuwa jina la mji wa Kikanaani kama kilometa 30 magharibi ya Yerusalemu.
|
|
|
|
* Waisraeli waliuteka mji wa Beth Shemeshi wakati wa uongozi wa Yoshua.
|
|
* Beth Shemeshi ulikuwa mji uliokuwa umetengwa kama sehemu ya makuhani Walawi kuishi.
|
|
* Wafilisiti walipokuwa wakilirudisha Yerusalemu sanduku la agano walilokuwa wameliteka, Beth Shemeshi ni mji wa kwanza waliposimama pamoja nalo.
|
|
|