11 lines
442 B
Markdown
11 lines
442 B
Markdown
# Beelzebuli
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Beelzebuli ni jina lingine kwa Shetani, au mwasi. Wakati mwingine linaandikwa "Beelzebubu."
|
|
|
|
* Jina hili kwa kawaida linamaanisha "bwana wa nzi" kumaanisha, mtawala wa mapepe." Lakini ni vizuri zaidi kutafasiri neno karibu na herufi zake za asili kuliko kutafasiri maana.
|
|
* Ingeweza pia kutafasiriwa kama "Beelzebubu mwovu" kuweka wazi anayetajwa.
|
|
* Jina hili linahusiana na jina la Baal-Zebubu mungu wa Ekroni.
|
|
|