442 B
442 B
Beelzebuli
Ufafanuzi
Beelzebuli ni jina lingine kwa Shetani, au mwasi. Wakati mwingine linaandikwa "Beelzebubu."
- Jina hili kwa kawaida linamaanisha "bwana wa nzi" kumaanisha, mtawala wa mapepe." Lakini ni vizuri zaidi kutafasiri neno karibu na herufi zake za asili kuliko kutafasiri maana.
- Ingeweza pia kutafasiriwa kama "Beelzebubu mwovu" kuweka wazi anayetajwa.
- Jina hili linahusiana na jina la Baal-Zebubu mungu wa Ekroni.