12 lines
460 B
Markdown
12 lines
460 B
Markdown
# Barnaba
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Barnaba ni miongoni mwa wakristo wa mwanzo aliyeishi wakati wa mitume.
|
|
|
|
* Barnaba alikuwa wa kabila ya Lawi na alikuwa mwenyeji wa kisiwa cha Mileto.
|
|
* Wakati Sauli (Paulo) anakuwa mkristo, Barnaba aliwasihi waamini wangine kumpokea kama mwamini mwenzao.
|
|
* Barnaba na Paulo walisafiri kwa pamoja katika miji mbalimbali ili kuhubiri injili.
|
|
* Jina lake lilikuwa Yusufu, lakini aliitwa "Barnaba," jina linalomaanisha "mwana wa faraja."
|
|
|