460 B
460 B
Barnaba
Ufafanuzi
Barnaba ni miongoni mwa wakristo wa mwanzo aliyeishi wakati wa mitume.
- Barnaba alikuwa wa kabila ya Lawi na alikuwa mwenyeji wa kisiwa cha Mileto.
- Wakati Sauli (Paulo) anakuwa mkristo, Barnaba aliwasihi waamini wangine kumpokea kama mwamini mwenzao.
- Barnaba na Paulo walisafiri kwa pamoja katika miji mbalimbali ili kuhubiri injili.
- Jina lake lilikuwa Yusufu, lakini aliitwa "Barnaba," jina linalomaanisha "mwana wa faraja."