11 lines
349 B
Markdown
11 lines
349 B
Markdown
# Baraba
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Baraba alikuwa mfungwa huko Yerusalemu wakati Yesu anakamatwa.
|
|
|
|
* Baraba alikuwa mwalifu aliyekuwa ametenda makosa ya kuuwa na uasi dhidi ya serikali ya Kirumi.
|
|
* Pontio Pilato alipotoa msamaha wa kumfungua kati ya Baraba au Yesu, watu walimchagua Baraba.
|
|
* Hivyo Pilato alimwacha huru Baraba, lakini akamhukumu Yesu auawe.
|
|
|