349 B
349 B
Baraba
Ufafanuzi
Baraba alikuwa mfungwa huko Yerusalemu wakati Yesu anakamatwa.
- Baraba alikuwa mwalifu aliyekuwa ametenda makosa ya kuuwa na uasi dhidi ya serikali ya Kirumi.
- Pontio Pilato alipotoa msamaha wa kumfungua kati ya Baraba au Yesu, watu walimchagua Baraba.
- Hivyo Pilato alimwacha huru Baraba, lakini akamhukumu Yesu auawe.