490 B
490 B
Azaria
Ufafanuzi
Azaria ni jina la watu kadhaa kwenye agano jipya.
- Aharia wa kwanza alijulikana sana kwa jina lake la Kibabiloni kama Abedinego. Alikuwa mmoja kati ya Waisraeli wengi toka Yuda waliokamatwa na jeshi la Nebukadneza na kupelekwa kuishi Babiloni.
- Mfalme Uzia wa Yuda pia alijulikana kama Azaria.
- Azaria mwingine alikuwa kuhani mkuu katika agano la kale.
- Katika kipindi cha nabii Yeremia, Azaria aliwataka Waisraeli wasimtii Mungu kwa kuondoka kwenye nchi yao.