11 lines
406 B
Markdown
11 lines
406 B
Markdown
# Athalia.
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Athalia alikuwa mke mbaya wa Yehoramu mfalme wa Yuda. Alikuwa mjukuu wa mfalme muovu wa Israeli, mfalme Omri.
|
|
|
|
* Ahazia mtoto wa Athalia alikuwa mfalme baada ya kifo cha Yehoramu.
|
|
* Ahazia alipokufa, Athalia alipanga kuwauwa ndugu waliosalia wa familia ya mfalme.
|
|
* Lakini mjukuu mdogo wa Athalia Yoashi alifichwa na shangazi yake hivyo hakuuawa. Baadaye alikuwa mfalme wa Yuda.
|
|
|