406 B
406 B
Athalia.
Ufafanuzi
Athalia alikuwa mke mbaya wa Yehoramu mfalme wa Yuda. Alikuwa mjukuu wa mfalme muovu wa Israeli, mfalme Omri.
- Ahazia mtoto wa Athalia alikuwa mfalme baada ya kifo cha Yehoramu.
- Ahazia alipokufa, Athalia alipanga kuwauwa ndugu waliosalia wa familia ya mfalme.
- Lakini mjukuu mdogo wa Athalia Yoashi alifichwa na shangazi yake hivyo hakuuawa. Baadaye alikuwa mfalme wa Yuda.