15 lines
842 B
Markdown
15 lines
842 B
Markdown
# Arami, Waarami
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
"Arami" ni jina la watu wawili katika agano la kale. Pia lilikuwa jina la mji uliopo kaskazini mashariki mwa Kaanani, ambayo kwa sasa ni Siria.
|
|
|
|
* Watu wanaoishi Arami wanajulikana kama Waarami wanaozungumza Kiarami. Yesu na Wayahudi wengine pia walizungumza Kiarami.
|
|
* Moja ya watoto wa Shemu aliitwa Arami. Mtu mwingine aliyeitwa Arami alikuwa binamu yake na Rebeka.
|
|
* Arami baadaye ikaja kujulikana kwa jina la Kigiriki kama Siria.
|
|
* "Padani Arami" ina maanisha "Tambarare ya Arami" na ilikuwa kaskazini mwa Arami.
|
|
* Baadhi ya ndugu wa Abrahamu walioishi Harani ambayo ilikuwepo Padani Arami.
|
|
* Katika agano la kale neno Arami na Padani Arami linamaanisha sehemu moja.
|
|
* Neno "Arami Naharaimu" ina maana ya "Arami ya mito miwili" Mji huu ulikuwepo Kaskazini mwa Mesopitamia na mashariki mwa Padani Arami.
|
|
|