12 lines
476 B
Markdown
12 lines
476 B
Markdown
# Akila
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Alikuwa Mkristo wa kiyahudi aliyeishi Ponto.
|
|
|
|
* akila na Prisila waliishi Rumi, Italia kwa mda lakini ,tawala wa Rumi aliwafukuza kwa nguvu Wayahudi waondoke Rumi.
|
|
* Baada ya hayo Akila na Prisila walisafiri kwenda Korintho na kukutana na Paulo.
|
|
* walifanya kazi ya kutengeneza mahema na Paulo pamoja na kumsaidia kazi za kimisionari.
|
|
* Akila na Prisila waliwafundisha waamini ukweli kuhusu Yesu, mmoja wa waamini hao alikuwa mwalimu aliyeitwa Apolo.
|
|
|