476 B
476 B
Akila
Ufafanuzi
Alikuwa Mkristo wa kiyahudi aliyeishi Ponto.
- akila na Prisila waliishi Rumi, Italia kwa mda lakini ,tawala wa Rumi aliwafukuza kwa nguvu Wayahudi waondoke Rumi.
- Baada ya hayo Akila na Prisila walisafiri kwenda Korintho na kukutana na Paulo.
- walifanya kazi ya kutengeneza mahema na Paulo pamoja na kumsaidia kazi za kimisionari.
- Akila na Prisila waliwafundisha waamini ukweli kuhusu Yesu, mmoja wa waamini hao alikuwa mwalimu aliyeitwa Apolo.