10 lines
437 B
Markdown
10 lines
437 B
Markdown
# Ai
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Katika agano la kale, Ai lilikuwa jina la mji wa Kaanani uliopo kusini mwa Betheli na takribani kilometa 8 kaskazini mashariki mwa Yeriko.
|
|
|
|
* Baada ya kuishinda Yeriko, Yoshua anawaongoza Waisraeli kuiteka Ai. Lakini walishindwa kwa sababu Mungu hakupendezwa nao.
|
|
* Muisraeli aitwaye Akani aliiba nyara toka Yeriko na Mungu akaamuru kuwa yeye na familia yake wauawe. Kisha Mungu akawasaidia Waisraeli kuishinda Ai.
|
|
|