13 lines
520 B
Markdown
13 lines
520 B
Markdown
# Dunia, kidunia
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Dunia ni sehemu ya ulimwengu ambapo watu wanaishi ndani yake. Kidunia inaelezea maadili na tabia mbaya za watu wanaoishi kwenye hii dunia.
|
|
|
|
* Dunia inajumuisha mbingu, nchi na vyote vilivyopo ndani yake.
|
|
* Katika sehemu nyingi "dunia" inamanisha watu wa duniani.
|
|
* Mara nyingine inaelezea kuwa watu waovu wa duniani au watu wasiomtii Mungu.
|
|
* Mitumi waliotumia "dunia" walielezea tabia za ubinafsi za watu wanaoishi kwenye dunia hii.
|
|
* Watu au vitu wenye tabia hizi waliitwa wa kidunia.
|
|
|