520 B
520 B
Dunia, kidunia
Ufafanuzi
Dunia ni sehemu ya ulimwengu ambapo watu wanaishi ndani yake. Kidunia inaelezea maadili na tabia mbaya za watu wanaoishi kwenye hii dunia.
- Dunia inajumuisha mbingu, nchi na vyote vilivyopo ndani yake.
- Katika sehemu nyingi "dunia" inamanisha watu wa duniani.
- Mara nyingine inaelezea kuwa watu waovu wa duniani au watu wasiomtii Mungu.
- Mitumi waliotumia "dunia" walielezea tabia za ubinafsi za watu wanaoishi kwenye dunia hii.
- Watu au vitu wenye tabia hizi waliitwa wa kidunia.