13 lines
614 B
Markdown
13 lines
614 B
Markdown
# kazi, vitendo, matendo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Katika Biblia maneno kazi, vitendo, matendo ni vitu ambavyo Mungu au watu hufanya.
|
|
|
|
* Neno kazi linamaana ya kufanya kazi kwa ajili ya kuwatumikia watu wengine.
|
|
* Kazi ya Mungu na kazi ya mikono yake ni kazi zote anazzozifanya ikiwemo kuumba dunia, kuokoa wenye dhambi, kuwapatia mahitaji wale aliowaumba. Matendo ni miujiza ya Mungu kama "matendo makuu."
|
|
* Matendo anayofanya mwanadamu yaweza kuwa mazuri au mabaya.
|
|
* Roho mtakatifu anatatia nguvu waamini kufanya kazi njema ambazo huitwa "matunda mema."
|
|
* Watu hawaokolewi kwa kazi zao nzuri bali kwa imani yao kwa Yesu.
|
|
|