614 B
614 B
kazi, vitendo, matendo
Ufafanuzi
Katika Biblia maneno kazi, vitendo, matendo ni vitu ambavyo Mungu au watu hufanya.
- Neno kazi linamaana ya kufanya kazi kwa ajili ya kuwatumikia watu wengine.
- Kazi ya Mungu na kazi ya mikono yake ni kazi zote anazzozifanya ikiwemo kuumba dunia, kuokoa wenye dhambi, kuwapatia mahitaji wale aliowaumba. Matendo ni miujiza ya Mungu kama "matendo makuu."
- Matendo anayofanya mwanadamu yaweza kuwa mazuri au mabaya.
- Roho mtakatifu anatatia nguvu waamini kufanya kazi njema ambazo huitwa "matunda mema."
- Watu hawaokolewi kwa kazi zao nzuri bali kwa imani yao kwa Yesu.