12 lines
586 B
Markdown
12 lines
586 B
Markdown
# imani, aminifu,
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno "imani" la eleza kuamini kwamba kitu au mtu ni wa kweli au tegemeo. Mtu "mwaminifu" na weza kuwa tegemevu kufanya kitu na kusema kilicho sawa na kweli.
|
|
|
|
* Imani ni ina maana ya karibu na imani ya Mungu. Kama tuna mwamini mtu, tuna imani kwamba mtu huyo atafanya alicho ahidi.
|
|
* Kuwa na imani kwa mtu pia ina maana ya kumtegemea huyo mtu.
|
|
* Kumuamini Yesu ina maana ya kukubali kuwa yeye ni Mungu na kwamba alikufa kwenye msalaba kulipa dhambi zetu, na kumtegemea kutuokoa.
|
|
* "msemo aminifu" ni kitu kilicho semwa na kinaweza hesabiwa kuwa kweli.
|
|
|