586 B
586 B
imani, aminifu,
Ufafanuzi
Neno "imani" la eleza kuamini kwamba kitu au mtu ni wa kweli au tegemeo. Mtu "mwaminifu" na weza kuwa tegemevu kufanya kitu na kusema kilicho sawa na kweli.
- Imani ni ina maana ya karibu na imani ya Mungu. Kama tuna mwamini mtu, tuna imani kwamba mtu huyo atafanya alicho ahidi.
- Kuwa na imani kwa mtu pia ina maana ya kumtegemea huyo mtu.
- Kumuamini Yesu ina maana ya kukubali kuwa yeye ni Mungu na kwamba alikufa kwenye msalaba kulipa dhambi zetu, na kumtegemea kutuokoa.
- "msemo aminifu" ni kitu kilicho semwa na kinaweza hesabiwa kuwa kweli.