12 lines
565 B
Markdown
12 lines
565 B
Markdown
# Sadukayo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Masadukayo walikuwa kikundi cha makuhani wa Kiyahudi kipindi cha Yesu Kristo waliyo unga mkono utawala wa Warumi na ambao hawakuamini ufufuo.
|
|
|
|
* Masadukayo wengi walikuwa matajiri, Wayahudi wa daraja la juu waliyo shika vyeo vikubwa kama vile chifu kuhani na kuhani mkuu.
|
|
* Majukumu ya Masadukayo yali husisha kutunza hekalu na kazi za kikuhani kama kutoa dhabihu.
|
|
* Masadukayo na Mafarisayo walishawishi viongozi wa Kirumi kumsulubisha Yesu.
|
|
* Yesu alizungumza kuhusu haya makundi mawili ya kidini kwasababu ya ubinafsi na unafiki wao.
|
|
|