11 lines
475 B
Markdown
11 lines
475 B
Markdown
# Mkono wa kulia.
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Mkono wa kulia humaanisha mahali pa heshima au nguvu ya mkono wa kiume wa mtawala au mtu wa muhimu.
|
|
|
|
* Mkono wa kulia ulitumika kama alama ya nguvu na mamlaka.
|
|
* Biblia inaeleza Yesu amekaa mkono wa kulia wa Mungu Baba kama kichwa cha kanisa na mwenye nguvu ya kutawala viumbe vyote.
|
|
* Mkono wa kulia wa mtu ulitumika kuonesha heshima ya pekee unapowekwa kichwani mwa mtu akipewa baraka. (Kama Yakobo alivyombariki Mtoto wa Efraimu, Yusufu)
|
|
|