489 B
489 B
Kupatanisha, maridhiano
Ufafanuzi
Kupatanisha na maridhiano ni kutengeneza amani kati ya watu waliokuwa maadui.
- Katika Biblia neno hili linamuelezea Mungu kuwapatanisha watu na yeye mwenyewe kwa kumtoa mwana wake Yesu Kristo.
- Kwa sababu ya dhambi watu wote ni adui wa Mungu. Lakini kwa sababu ya upendo wake Mungu anatoa njia ya watu kupatanishwa naye kupitia Yesu.
- Kwa kuamini kujitoa kwa Yesu kama malipo ya dhambi zao watu wanaweza kusamehewa na kuwa na amani na Mungu.