773 B
773 B
Nabii, unabii, mwonaji, nabii mwanamke.
Ufafanuzi
"Nabii ni mtu anayesema ujumbe wa Mungu kwa watu. Mwanamke anayefanya hivi anaitwa "nabii mwanamke."
- Mara nyingi manabii waliwaonya watu kuacha dhambi zao na kumtii Mungu.
- Unabii ni ujumbe unaozungumzwa na nabii.
- Ujumbe wa unabii mara nyingi ulikuwa unahusu mambo yatakayotokea hapo baadae.
- Unabii mwingi wa agano la kale umeshatimia.
- Katika Biblia mkusanyiko wa vitabu vilivyoandikwa na manabii mara nyingine vinajulikana kama "manabii."
- Kwa mfano maneno "sheria na manabii" ni namna ya kuelezea maandiko ya kiebrania ambayo yanajulikana kama "agano la kale"
- Jina la zamani la nabii lilikuwa "mwonaji" au "mtu anayeona."
- Mara nyingine "mwonaji" inamana ya nabii wa uongo au mtu anayefanya uganga.