11 lines
371 B
Markdown
11 lines
371 B
Markdown
# Mchungaji
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Mchungaji inatumika kama cheo cha mtu ambaye ni kiongozi wa kiroho wa kundi fulani la waamini.
|
|
|
|
* Katika toleo la Biblia kwa Kingereza neno "mchungaji" limeonekana mara moja katika kitabu cha Waefeso.
|
|
* Katika lugha zingine neno mchungaji ni sawa sawa na neno mchungaji wa kundi fulani la wanyama.
|
|
* Yesu pia anafananishwa na mchungaji mwema.
|
|
|