494 B
494 B
rehema
Ufafanuzi
Neno "rehema" lina husu kusaidia mtu waliyo na shida, hususani wanapo kuwa chini au hali ngumu.
- Neno "rehema" linaweza maanisha maana yakuto adhibu watu kitu walicho kosea.
- Mtu mwenye nguvu kama mfalme anaelezwa kama mwenye "rehema" anapo tendea watu wema badala ya kuwaua.
- Kuwa mwenye Rehema ina maana ya kusamehe mtu aliye kukosea.
- Tuna onyesha rehema tunapo saidia watu mwenye shida kubwa.
- Mungu ni wa rehema kwetu, na anataka tuwe na rehema kwa wengine.