sw_tw/bible/kt/majesty.md

10 lines
258 B
Markdown

# mtukufu
## Ufafanuzi
Neno "mtukufu" la husu ukubwa na utukufu, mara nying katika sifa za mfalme.
* Katika Biblia, "mtukufu" mara nyingi la husu ukuu wa Mungu, ambaye ndiye mtawala wa ulimwengu.
* "mtukufu" ni namna ya kumwita mfalme katika mazungumzo.