15 lines
698 B
Markdown
15 lines
698 B
Markdown
# utukufu, fahari
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kwa ujumla, msemo "utukufu" una maana ya heshima, fahari, na ukuu wa hali ya juu sana. Kitu chochote ambacho kina utukufu kinasemekana kuwa na "fahari".
|
|
|
|
Mara nyingi, "utukufu" ina maana ya kitu chenye thamani kubwa na umuhimu. Katika muktadha zingine inawasilisha ufahari, mwanga, au hukumu.
|
|
|
|
Kwa mfano, msemo "utukufu wa wafugaji" una maana ya malisho yaliyostawi sana ambapo kondoo wao walikuwa na nyasi nyingi za kula.
|
|
|
|
Utukufu haswa hutumika kumfafanua Mungu, ambay ana ufahari zaidi ya yeyote au chochote katika ulimwengu. Kila kitu katika tabia yake huonyesha utukufu na ufahari wake.
|
|
|
|
Msemo "kutukuzwa na" una maana ya kujidai juu ya au kujivunia na kitu.
|
|
|