21 lines
899 B
Markdown
21 lines
899 B
Markdown
# tukuza, kutukuza
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kutukuza ni kusifu kwa juu sana na kumheshimu mtu. Inaweza kumaanisha kumweka mtu katika nafasi ya juu.
|
|
|
|
Katika Biblia, msemo "tukuza" unatumika sana kwa ajili ya kumtukuza Mungu.
|
|
|
|
Mtu anapojitukuza mwenyewe, ina maana anawaza juu yake mwenyewe kwa hali ya kujiinua au namna ya kiburi.
|
|
|
|
Mapendekezo ya Tafsiri
|
|
|
|
Njia za kutafsiri "tukuza" zinaweza kujumuisha "kusifu kwa juu" au "kuheshimu sana" au "sifu sana" au "kuzungumza kwa juu sana"
|
|
|
|
Katika baadhi ya muktadha, inaweza kutafsiriwa kwa neno au msemo ambao una maana ya "kuweka nafasi ya juu zaidi" au "kutoa heshima zaidi" au "kuzungumza kuhusu kwa kiburi".
|
|
|
|
"Usijitukuze mwenyewe" inaweza kutafsiriwa kama "Usijiwazie kuwa juu sana" au "Usijidai juu yako mwenyewe".
|
|
|
|
"Wale wanaojiinua wenyewe" inaweza kutafsiriwa kama "Wale ambao hufikiri kwa kiburi kuhusu wao wenyewe" au "Wale wanaojidai juu yao wenyewe"
|
|
|