29 lines
1.1 KiB
Markdown
29 lines
1.1 KiB
Markdown
# mfuasi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Msemo wa "mfuasi" una maana ya mtu anayetumia muda mwingi na mwalimu, akijifunza kutoka kwa tabia na mafunzo ya mwalimu huyo.
|
|
|
|
Watu waliomfuata Yesu, wakimsikiliza mafundisho yake na kuyatii, walijulikana kama "wanafunzi" wake.
|
|
|
|
Yohana Mbatizaji pia alikuwa na wanafunzi.
|
|
|
|
Katika kipindi cha huduma ya Yesu, kulikuwa na wanafunzi wengi waliomfuata na kusikiliza mafunzo yake.
|
|
|
|
Yesu alichagua watume kumi na wawili wawe wafuasi wake wa karibu; wanamume hawa wakaja kujulikana kama "mitume" wake.
|
|
|
|
Watume kumi na wawili waliendelea kujulikana kama "wanafunzi" wake au "wale kumi na wawili".
|
|
|
|
Kabla tu ya Yesu kwenda juu mbinguni, aliwaamuru wanafunzi wake kuwafundisha watu wengine juu ya kuwa wafuasi wa Yesu pia.
|
|
|
|
Yeyote anayemwamini Yesu na kumtii mafunzo yake anaitwa mfuasi wa Yesu.
|
|
|
|
Mapendekezo ya Tafsiri
|
|
|
|
Msemo "mwanafunzi" unaweza kutafsiriwa kwa neno au msemo wenye maana ya "mfuasi" au "mwanafunzi".
|
|
|
|
Hakikisha ya kwamba tafsiri ya msemo huu haimaanishi mwanafunzi anayejifunza darasani.
|
|
|
|
Tafsiri ya msemo huu unatakiwa kuwa tofauti na tafsiri ya "mtume".
|
|
|