12 lines
478 B
Markdown
12 lines
478 B
Markdown
# Uaminifu wa agano, fadhili, upendo wa kudumu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Maneno haya hutumika kuelezea Mungu alivyijitoa kikamilivu kutimiza ahadi alizoweka kwa watu wake.
|
|
|
|
* Mungu amewaahidi Waisraeli kwa kutumia Agano.
|
|
* Uaminifu wa agano wa Bwana ni kitendo cha yeye kushika ahadi alizowaahidi watu wake.
|
|
* Uaminifu wa Mungu unajionesha kwa rehema zake kwa watu wake.
|
|
* Uaminifu ni neno lingine linaloelezea kujitoa kufanya au kusema kilichoahidiwa na kitakachomfaidisha mtu mwingine.
|
|
|