478 B
478 B
Uaminifu wa agano, fadhili, upendo wa kudumu
Ufafanuzi
Maneno haya hutumika kuelezea Mungu alivyijitoa kikamilivu kutimiza ahadi alizoweka kwa watu wake.
- Mungu amewaahidi Waisraeli kwa kutumia Agano.
- Uaminifu wa agano wa Bwana ni kitendo cha yeye kushika ahadi alizowaahidi watu wake.
- Uaminifu wa Mungu unajionesha kwa rehema zake kwa watu wake.
- Uaminifu ni neno lingine linaloelezea kujitoa kufanya au kusema kilichoahidiwa na kitakachomfaidisha mtu mwingine.