586 B
586 B
Mkristo
Ufafanuzi
Baada ya Yesu kurudi mbinguni watu wakaanza kuitwa Wakristo ikiwa na maana ya wafuasi wa Kristo.
- Ilikuwa katika mji wa Antiokia ambapo wafuasi wa Yesu waliitwa Wakristo kwa mara ya kwanza.
- Mkristo ni mtu anayeamini kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na anayeamini kuwa Yesu anaweza kumuokoa toka kwenye dhambi.
- Katika wakati wa sasa Mkristo ni mtu anayetambulishwa na dini ya Kikristo lakini sio mfuasi wa Yesu kabisa. Hii sio maana ya Mkristo ki Biblia.
- Kwa sabau Mkristo kwenye Biblia inamaanisha mtu anayemwamini Yesu kabisa Mkristo pia anaitwa mwamini.