12 lines
450 B
Markdown
12 lines
450 B
Markdown
# Jemadari
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Jemadari ni afisa wa jeshi la Rumi aliyekuwa na kundi la askari 100 juni ya amri yake.
|
|
|
|
* Hii pia inaweza kutafsiriwa kama "kiongozi wa watu mia" au "kiongozi wa jeshi."
|
|
* Jemadari mmoja wa Rumi alikwenda kwa Yesu akamwomba amponye mtumishi wake.
|
|
* Jemadari aliyekuwa akihusika kumsulubisha Yesu alishangazwa kwa namna ambavyo Yesu alikufa.
|
|
* Mungu alimtuma jemadari kwa Petro ili Petro amuelezee habari njema juu ya Yesu.
|
|
|