450 B
450 B
Jemadari
Ufafanuzi
Jemadari ni afisa wa jeshi la Rumi aliyekuwa na kundi la askari 100 juni ya amri yake.
- Hii pia inaweza kutafsiriwa kama "kiongozi wa watu mia" au "kiongozi wa jeshi."
- Jemadari mmoja wa Rumi alikwenda kwa Yesu akamwomba amponye mtumishi wake.
- Jemadari aliyekuwa akihusika kumsulubisha Yesu alishangazwa kwa namna ambavyo Yesu alikufa.
- Mungu alimtuma jemadari kwa Petro ili Petro amuelezee habari njema juu ya Yesu.